“Naapa kwamba nitatekeleza majukumu yangu kwa Mamlaka yangu ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Kamosa ya Jinai kwa heshima, uaminifu, bila upendeleo na kwa dhamiri, nitaheshimu usiri kwenye kufanya uchunguzi na kuendesha mashtaka” kiapo cha Mkuu mpya wa ICC