Ofisi ya kamishina mkuu wa haki za binadamu imearufu kuwa uchunguzi uliofanywa na mpanho wa Umoja wa Mataifa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO na ule uliofanywa na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu katika vijiji vya Kivu ya Kaskazini na Kivu ya Kusini umetoa mwangaza wa ukiukwaji ulikofanywa na wanajeshi wa serikali wa FARDC wakati wa mwaka mpya.