Kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR bwana Antonio Guterres na kamishina wa tume ya muungano wa Ulaya ya ushirikiano wa kimataifa, msaada wa kibinadamu na kukabili majanga Kristalina Georgieva wamewsili Yemen leo katika ziara yao ya kwanza ya kikazi pamoja.