Sajili
Kabrasha la Sauti
Tanzania imetaka hatua za dhati zichukuliwe ili kuokoa hoja ya ushirikiano wa kimataifa ambao hivi sasa uko mashakani.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 41.7 ili kushughulikia mahitaji ya elimu kwa watoto walioathiriwa na mzozo katika eneo la Ziwa Chad.