Barazani hii leo wajumbe wa wamejulishwa kuwa kwa kilichotokea huko ukanda wa Gaza, ni lazima kuchukua hatua za dhati ili kuepusha umwagaji zaidi wa damu.
Shirika la afya ulimwenguni WHO linapeleka timu ya wataalam 50 wa afya ya jamii nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ili kusaidia serikali kupambana na mlipuko wa Ebola. Patruck Newman na taarifa kamili