Utafiti uliondeshwa na Umoja wa Mataifa unaonyesha kuwa mashambulizi dhidi ya wafanyikazi wa kutoa huduma za kibinadamu yameongezeka mara tatu zaidi kwa muda wa miaka kumi iliyopita ambapo wafanyikazi 100 huuawa kila mwaka hususan kwenye maeneo yanayokabiliwa na mizozo kama vile Afghanistan, Pakistan na Somalia.