Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, kwa msaada wa shirika la Uingereza, UK Aid, linasaidia kutoa huduma ya ulinzi kwa watoto katika makazi duni au yasiyo rasmi, Korogocho, walioathiriwa na kufungwa kwa shule kutokana na janga la COVID-19.