Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi,UNHCR, na mfuko wa masuala ya kibinadamu wa Thani Bin Abdullah Bin Thani Al-Thani huko Doha, Qatar leo wametiliana saini makubaliano ambapo mfuko huo utalipatia shirika hilo zaidi ya dola milioni 43.