Mtazamo potofu kuhusu uhamiaji na wahamiaji umeendelea kukwamisha matumizi bora ya dhana hiyo kote ulimwenguni, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hii leo wakati akizindua ripoti yake kuhusu mbinu za kufanya uhamiaji uwe na manufaa kwa wote. Patrick Newman na ripoti kamili.