The United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR), along with its humanitarian partners, today launched a $ 157 million fundraising drive to help more than a quarter of a million people affected by Boko Haram attacks in the basin. lake Chad.
Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya kibinadamu na msaada wa dharura, Ursula Mueller, amesema hali bado ni tete nchini Syria kufuatia mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliyodumu kwa zaidi ya miaka saba sasa.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA limezindua harambee ya kuchangisha fedha zaidi ya dola millioni 800 kwa wapalestina walioko katika eneo linalokaliwa la Gaza na ukingo wa magharibi wa mto Jordan. Taarifa zaidi na Assumpta Massoi.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limetangaza ombi la dola bilioni 3.6 kwa ajili ya kufikisha misaada ya kibinadamu kwa watu milioni 82 wakiwemo watoto. Taarifa zaidi na Selina Jerobon.