Ukanda wa Sahel unakabiliwa na mashambulizi na shida za mara kwa mara ambapo nchi tano kwenye ukanda huo zimeunda kikosi cha kukabili mashambulizi kiitwacho, G5.
Balozi mwema wa UNICEF, Priyanka Chopra amezuru kambi ya wakimbizi wa Rohingya huko Bangladesh na kutoa wito kwa usaidizi zaidi kwa watoto wa wakimbizi hao ambao maisha yao yako taabani.
Ugonjwa wa Ukimwi pamoja na kusababisha machungu kwa binadamu, pia husababisha kupotea kwa mabilioni ya mapato ya fedha kutokana na vifo vya mamia ya maelfu ya wafanyakazi ambavyo vinaweza kuzuilika kwa matibabu.
Huduma ya intaneti iliyofungwa katika kambi ya wakimbizi huko jimbo la Diffa, mashariki mwa Niger imeanza kuzaa matunda kwa mashirika ya misaada na wakimbizi ambao wote wananufaika na huduma ya simu na intaneti
Shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR limeshtushwa na wimbi kubwa la wakimbizi wapya waliokimbilia kijiji cha Kazawi katika mkoa wa Bas- Uele, kaskazini mwa DR Congo wakitokea kusini mashariki mwa jamhuri ya Afrika ya kati CAR.
Shirika la afya ulimwenguni WHO lina hofu kubwa hivi sasa baada ya mgonjwa wa Ebola kubainika maeneo ya mjini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM nalo limejumuika katika kusaidia kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Ebola huko jimbo la Equateur nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Wahudumu wa afya huko Gaza, Mashariki ya Kati hivi sasa wanahaha kutibu zaidi ya majeruhi 2700 wa ghasia za jana zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 58. Taarifa zaidi an Assumpta Massoi.