Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, Umoja wa Mataifa unafuatilia kwa karibu tangazo lililotolewa leo na Marekani la kulitangaza kundi la Houthi nchini Yemen kuwa ni shirika la kigaidi, ili kutathimini athari zinazoweza kujitokeza na tangazo hilo.