Je unaposikia nchi zilizoendelea zinahamasishwa kutoa fedha kufanikisha miradi ya kukabili mabadiliko ya tabianchi unaelewa nini?. Je ni nani anasimamia fedha hizo, zinatumika kwenye maeneo gani? nani ananufaika na fedha hizo na uamuzi wa kuanza kuchanga ulitokea wapi?