Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (ICRC) imeripoti leo, kwa kupitia msemaji wake Geneva, Dominik Stillhart, kwamba majeshi ya Israel “yameshindwa kutekeleza majukumu yao, chini ya sheria za kiutu za kimataifa za kuhudumia majeruhi wa vita.”