Katika siku ya kimataifa ya kuadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Holocaust ambyo kila mwaka huwa Januari 27, kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa mataifa Navi Pillay amesema mauaji ya hayo yawe ni kumbusho la hatari za kuyatenga baadhi ya makundi katika jamii.