Kila mwaka tarehe 25 Novemba ni siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na wito umetolewa kwa serikali, jumuiya za kijamii, mashirika yasiyo ya kiserikali na wadau wote wanaopigania haki za wanawake kuhakikisha udhalimu huo unamalizwa.