Wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wa kushughulikia haki za Binadamu wamesema Colombia ambayo imekumbwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na ukiukaji wa haki za binadamu imechukua hatua ya kupunguza mauwaji,lakini bado wanajeshi wa nchi hiyo wanakisiwa kuhusika na mauwaji mengi nchini humo.