Sajili
Kabrasha la Sauti
Baada ya ziara ya siku sita nchini Myanmar, Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa anaona kabisa ya kwamba wakimbizi wa Rohingya walioko Bangladesh bado wana hofu kubwa ya kurejea nyumbani ingawa jitihada za mazungumzo zinaendelea ili warejee Myanmar.