Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Zeid Ra’ad Al Hussein amesema machungu wanayopitia wahanga wa ukiukwaji wa haki za binadamu ni shinikizo kubwa kwake yeye kuzungumza bila woga.
Wiki ya unyonyeshaji mtoto maziwa ya mama ikianza hii leo, Umoja wa Mataifa umesema utashi wa kisiasa ndio muarobaini wa kufanikisha suala la kuwezesha mtoto kunyonya maziwa ya mama yake punde tu anapozaliwa.