Sajili
Kabrasha la Sauti
Umoja wa Mataifa umemtangaza nahodha wa timu ya taifa ya raga nchini Afrika Kusini, Siya Kolisi kuwa mchechemuzi wa dunia wa mpango wa Spotlight unaolenga kujumuisha wanaume katika harakati za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike.