Sajili
Kabrasha la Sauti
Nairobi tumezingatia masuala ya miji endelevu kwa ajili ya maendeleo na bado tunajizatiti kuhakikisha tunachukua hatua ili jiji letu liwe endelevu, amesema Gavana wa mji huo mkuu wa Kenya, Mike Sonko jijini New York, Marekani.