Sajili
Kabrasha la Sauti
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Umoja wa Mataifa umetaka serikali kuzingatia uhuru wa vyombo vya habari kwa kuwa ndio msingi wa utawala bora na serikali zinazowajibika kwa umma.