Nchini Côte d’Ivoire, kampeni kabambe iliyoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR na watetezi wa haki kuhusu haki ya mtu kupata utaifa imezaa matundana kuleta nuru kwa wasichana wawili ambao tangu kuzaliwa hadi kutimiza umri wa miaka 17 nchini humo hawakuwa na utaifa.