COVID-19 haijali sisi ni kina nani, tunaishi wapi, tunaamini nini au kuhusu tofauti nyingine yoyote. Tunahitaji kila aina ya mshikamano kulikabili janga linalotukabili la corona au COVID-19 kwa pamoja. Hayo yamesema na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres