Janga la COVID-19 na dharura ya tabianchi, vyote viwili vimefunua udhaifu wa jamii zetu na sayari yetu, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake kuhusu siku ya vyama vya ushirika inayoadhimishwa kila Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai.