Leo ikiwa ni siku ya mapumziko kwenye Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Siku kuu ya Eid, tuna Jarida Maalum likiangazia siku ya mazingira duniani, mwaka hii mwelekeo ukiwa ni uchafuzi wa hewa. Darubini zimeanza nchini Kenya, kisha Tanzania na kuhitimisha Uganda, msimulizi wako ni Assumpta Massoi.