Katibu mkuu wa kitengo cha Umoja wa Mataifa cha mkataba wa mabadiliko ya hali ya hewa Yvo de Boer amesema ahadi zilizotolewa na nchi mbalimbali kupunguza gesi za viwandani hazitoshelezi kufikia malengo ifikapo mwaka 2020.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na mazingira UNEP na jeshi kubwa la kimataifa la polisi INTERPOL wamesema hatma ya sokwe barani Afrika bado iko njia panda.