Afisa wa idara ya umoja wa mataifa juu ya Misaada ya Dharura (OCHA), Bi Elisabeth Byrs amesema kati ya Disemba 27 mwaka 2009 hadi Januari 5 2010 kumekuwepo na mvua kali huko maeneo ya Kaskazini, Kati na Magharibi mwa Kenya , na kuwathiri watu elfu 30.