Majadiliano ya Mkutano Mkuu wa Copenhagen, au Mkutano wa COP15, uliofanyika mwezi Disemba, na yaliochukua wiki mbili, yalipambwa na michuano, mivutano na mabishano yasiotarajiwa juu ya itifaki ya kuzingatiwa na wajumbe wa kimataifa, ili kuimarisha kipamoja Mkataba wa Kyoto, na kuyasaidia Mataifa Wanachama kuwa na chombo cha sheria ya kudhibiti bora athari zinazozalishwa na hali ya hewa ya kigeugeu.