Ripoti ya Shirika la UM juu ya Miradi ya Maendeleo (UNDP)iliowasilishwa mbele ya waandishi habari wa kimataifa waliopo Makao Makuu, na mtaalamu wa takwimu, Claes Johansson ilibainisha kwamba wanaoumia, na kuathirika zaidi kihali na mali, kutokana na uchafuzi wa mazingira duniani ni lile fungu la umma wa kimataifa ambalo halihusiki kamwe na uharibifu huo