Sajili
Kabrasha la Sauti
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bwana Willam Lacy Swing ameeleza wasi wasi mkubwa kutokana na kutangazwa maneno ya chuki dhidi ya wazungu kwenye vyombo vya habari.