Janos Pastzor, Mkuu wa Timu ya Ushauri kwa KM juu ya Masuala Yanayohusu Udhibiti wa Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa alinakiliwa akiwaarifu waandishi habari waliokusanyika kwenye mahojiano yaliofanyika Ijumatatu alasiri katika Makao Makuu, kwamba UM una matarajio ya wastani kuhusu uwezekano wa kuwa na mapatano ya sheria ya kulazimisha, kutokana na mkutano mkuu ujao utakaofanyika mwezi Disemba, katika Copenhagen,