Kwa upande mwengine, mjumbe wa Uchina, alitoa mwito maalumu kwa zile nchi zenye maendeleo ya viwanda, unaozihimiza kutimiza, kwa uaminifu, ahadi walizotoa siku za nyuma na kuongoza kwenye kadhi ya kupunguza utoaji wa hewa chafu kwenye anga, kwa viwango vilivyo vikubwa,