Sajili
Kabrasha la Sauti
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres leo Jumatatu amesema migogoro ya mataifa inachangia katika nchi nyingi zaidi kuchukua uamuzi ambao matokeo yake hayatabiriki na yanazua hatari kubwa ya matokeo ya mipango mibovu.