Mabadiliko ya tabia nchi sio ndoto wala kiini macho ni dhahiri, tusipochukua hatua sasa mustakabali wa dunia kwa kizazi hiki na vijavyo uko mashakani , ameonya leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akihimiza mshikamano wa kimataifa kuhusu suala hili.