Azimio la Beijing na Jukwaa la kuchukua hatua vimefungua zama mpya ya kusaka usawa wa kijinsia, amesema Phumzile Mlambo-Ngcuka katika hotuba yake aliyotoa leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani wakati wa miaka 25 ya maadhimisho ya mkutano wa kimataifa wa wanawake, FWCW uliofanyika Beijing, China.