Mkurugenzi Mkuu wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus ametaja bara la Ulaya na Amerika kama maeneo ambako maambukizi mapya ya ugonjwa wa virusi vya Corona, au COVID-19 yameripotiwa kwa kiasi kikubwa, hususan katika siku nne zilizopita.