Shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO limesema leo nchi wanachama wameamua kuanza mchakato wa kuandaa na kujadiliana kuhusu mkataba mpya , makubaliano au chombo kingine cha kimataifa kwa ajili ya kuzuia mlipuko wa magonjwa, kujiandaa na kukabilisna nao.