Siku ya Jumamosi ya tarehe 7 Aprili mwaka huu wa 2018 ni kumbukizi ya kimataifa kuhusu mauaji ya kimbari nchini Rwanda. Umoja wa Mataifa ulitangaza rasmi mwanzoni mwa mwaka huu siku hii kutambuliwa kimataifa.
Kila uchao manyanyaso wapatayo wahamiaji yanaripotiwa kila kona ya dunia, na sasa Umoja wa Mataifa pamoja na Muungano wa Ulaya wameamua kuchukua hatua.