Ulimwengu bado unashindwa kutengeneza matibabu mapya ya kupambana na viuatilifu ya ambayo yanahitajika sana, licha ya kuongezeka kwa tishio kubwa na la haraka la usugu wa za vijiuvijasumu au antibiotics, kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO, iliyotolewa leo .