Fistula itokanayo na uzazi ni nini?
Ni jeraha kubwa la wakati wa kujifungua ambalo humpokonya mwanamke au msichana afya yake, haki na utu.
Ni shimo linalotokea kati ya njia ya uzazi na kibofu ambayo husababisha kutoweza kudhibitiwa kwa mkojo.
Pia ni shimo kati ya njia ya uzazi na njia ya haja kubwa husababisha kinyesi kuvuja bila kujizuia.