Pengo kubwa la usawa kati ya ustawi wa binadamu unarudisha nyuma maendeleo ya ustawi wa binadamu, imesema ripoti mpya kuhusu kipimo cha maendeleo ya binadamu, HDI, iliyotolewa hii leo mjini New York, Marekani na shirika la mpango wa maendeleo la Umoja wa Mataifa, UNDP.