Sajili
Kabrasha la Sauti
Kataa matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kutupwa, ni kauli ya Umoja wa Mataifa katika siku ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani.
Chombo kipya chenye lengo la kushughulikia changamoto za mataifa maskini duniani kimezinduliwa rasmi hi leo mjini Gebze nchini Uturuki.
Kwa mara ya kwanza siku ya baiskeli imeadhimishwa hii leo na lengo ni kuchagiza maendeleo endelevu.
Mustakhbali wa watoto Afghanistan mashakani kutokana na mapigano