Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya wanawake dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM, limesema litasimama kidete kumtetea na kumlinda kila mwanamke au msichana mhamiaji mwenye moyo wenye wa matumaini, akili iliyojaa mawazo ya maendeleo popote alipo duniani.