Sajili
Kabrasha la Sauti
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea wamejadili hali ya sasa kwenye rasi ya Korea.
Shirika la kimataifa la uhamiaji linaisaidia wizara ya afya ya Sri Lanka kutoa mafunzo ya afya kwa wauguzi na wahudumu wa afya zaidi ya 100, ya kuhudumia wagonjwa wa homa ya kidingapopo kwenye hospitali kuu ya Vavuniya.
Dunia hivi sasa imeelezwa kutegemea sana tekinolojia ya mawasiliano na mfumo wa bank umesema muungano wa Ulaya.