Wakati kwa wengi uhamiaji unaonekana kama ni jambo zuri na uzoefu wenye tija, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kwa wengine wengi wanaendelea vitendo vya ukiuakaji wa haki za binadamu, mauaji ya kuwalenga wageni na unyonyaji dhidi ya wahamiaji.