Maendeleo katika mkutano wa upokonyaji silaha mwaka huu yamekuwa mabaya sana, kwani mkutano huo umeshindwa hata kufikia jambo la kulifanyia kazi, amesema mkurugenzi mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva Sergei Ordzhonikidze katika hafla ya kufunga mkutano huo mapema leo.