Takwimu zilizotolewa leo na shirika la afya duniani WHO kuhusu usugu wa viuavijasumu au antibiotics zinaonyesha kwamba kiwango cha usugu wa dawa hizo dhidi ya maradhi kadhaa yanayosababishwa na bakteria au vimelea kiko juu katika nchi zote, za kipato cha juu , cha wastani na za kipato cha chini. Taarifa kamili na Assumpta Massoi