Sajili
Kabrasha la Sauti
Muonekano wa dunia ukiwa katika mamia ya kilometa kutoka anga za mbali unavutia sana amesema Scott Kelly kinara wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya anga , ambaye pia ni mwanaanga wa zamani wa Marekani.
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo Ijumaa limewachagua wajumbe watano wapya wa baraza la usalama wasio wa kudumu.