Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO limesema tangu tarehe 1 Januari 2022, wagonjwa wa ndui ya nyani au Monkeypox wameripotiwa kutoka Mataifa 42 Wanachama katika kutoka mabara matano ya WHO (Amerika, Afrika, Ulaya, Mediterania ya Mashariki na Pasifiki ya Magharibi).